Siwezi kuamini, nasoma nini hapa. Hakuna mtu hata moja hapa ambaye anaona hatari ya ile sheria ya Uganda? Leo wanasema wanaua homosexuals na kesho? Labda watu na maskio makubwa. Au watu na mikono mirefu. Wake up!! Hio ni facism!! Mimi natoka ujerumani, na hapa wale Nazis walifanya hivo hivo...
Nimefurahi kuona forum hio na ninaomba kuingia, hata kama bado sijajua kiswahili kabisa. Sasa hivi niko mbali kidogo ya tanzania ila moyo yangu inakaa kule. Ntafurahi kupata nafasi kukuta watu hapa na kujua mambo ya tanzania inaendelaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.