Mshahara kima cha chini
ni 720,000/-
SHIRIKISHO la Vyama vya
Wafanyakazi Tanzania (TUCTA),
limependekeza mshahara wa kima
cha chini uwe sh 720,000. TUCTA
imekuja na pendekezo hilo huku
kukiwa na taarifa kwamba serikali
imepandisha kiinua mgongo kwa
wabunge kutoka sh milioni 43 za
awali hadi sh...
Kumekuwa na malalamiko ya wasanii wengi kulalamika kuibiwa nyimbo zao na msanii diamond platinum, alivyotoa "mbagala" kuna bwamdogo aliyeimba "tandale " alilalamika kuibiwa hiyo nyimbo,alivyotoa kibao cha nataka kulewa hbaba alikuja juu na kulalamika kuibiwa nyimbo yake na sasa hiki kibao kipya...
Nasikitika sana kwa vitendo vya ajabu ambavyo vinazidi kushamiri katika bunge letu. Kitendo cha mheshimiwa sugu kubebwa mzobe mzobe na polisi wa bunge ni suala la udhalilishaji kabisa sidhani kama ni kitendo cha kawaida kufanyika bungeni, inanishangaza hata jinsi bunge hili linavyoendeshwa...na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.