We unaongea nini wewe dogo, kweli yaani hizo club ulizozitaja unaweza kuzilinganisha na club za Bongo hata Al Ahly na bajeti yake kubwa haiingii hata robo kwenye hizo timu
Huyu masai wa kimara namjua ni kimeo over kimeo ilaa huyo kimaroa sijamfuatilia sana ila naamini hatua stahili zimechukuliwa dhidi yake sidhani kama viongozi wamekengeuka
We mzee una akili ndogo kama kisoda viatu kutokumtosha siyo maana kwamba hana uwezo ni hivi mfano mdogo tu.Kama mwendazake alikuwa anavaa namba size 7 na yeye size namba 5 obviously hivyo viatu vya mwendazake haviwezi kumtosha hata kama ni vya kampuni moja.Kwa mfano huo mdogo nafikiri utakuwa...
Hata Marekani,Urusi na China kuna mabeberu inshort mabeberu hawakwepeki cha msingi ni kuishi nao kwa akili kwa sababu we need each other mchana unamuita mtu beberu giza likiingia unaenda kumuomba msaada none sense
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.