Kauli aliyotoa ni Nzito. Clinically, he is a threat to himself and therefore to the society at large. He should not be in general public.
Layman terms, kama hajali maisha yake na anasema hadharani, je atajali ya wengine?
Someone throw him a rope plizzzzz.
Michael Phelp anyang'anywe medali.
Kama wanasema binti Semenya ana genetic/rare medical condition inayompa "unfair advantage" basi wamvue Michael Phelp medali zote! Yeye pia ana genetic/rare medical condition inayompa advantage ya pekee ambayo siyo kawaida kwa binadamu. Soma habari za Phelps...
Mengi yamesemwa bila kujua qualifications kamili za wahusika. Naona ujuzi wa Chale unajulikana hadharani kwa hiyo hauhitaji ziada. Ninachofamu ni kuwa Sawe ana Masters ya "Health Care Management" kutokea UK, amekuwa katika hili jukumu la kushughulikia wagonjwa wa kupelekwa India kwa miaka sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.