Baada ya jina lake kukatwa na vikao vya juu aliyekuwa Mgombea wa Chadema Jimbo la Mufindi Kaskazini Bwana Utamwa Asheri amejiunga na ACT mchana huu. Amechukua fomuj kwa chama hicha tayari kwa kupambana na Mh Mgimwa wa CCM. Amechukua hatua hiyo baada ya jina lake kukatwa wakati aliongoza kura za...
Kuna mjita mmoja ambaye alizoea kusema "hii ni sawa,hali ingeweza kuwa mbaya zaidi". Kila watu wakimweleza matatizo yao jibu lake ni hilo hilo. Siku moja jirani yake alirudi kazini mapema na kumkuta mke wake akifanya mapenzi na mangi. Kwa hasira akawapiga risasi akawaua na yeye akajiua. Majirani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.