Nawapongeza sana wanafunzi wa mlimani na waishio mabibo kwa kuamua kutumia nguvu zao wenyewe ili wasiendelee kugongwa kama kuku hapo barabarani.
Unajua hapo njia panda ya kwenda hostel wanafunzi wengi sana wamegongwa na kuuawa tangu hostel zilipojengwa.
Nakumbuka ni ule uongozi wa julius...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.