Jamani mimi ninarafiki yangu ambaye nilikutana nae sehemu fulani ya kupatia lunch na breakfast. Sasa tumeenda basi akaanza kuonyesha uanaume wake si akaniibukia oooh nakupenda.
But mimi ilo wazo wala halikuwepo kabisa coz nilijua ananizingua tu, sasa siku zinavozidi kwenda nae kasi inazidi...
Habarini za usiku huu wana MMU! Sina mengi saana ila tu ni ujio tu wangu humu ndani, maana jogoo la shamba haliwiki mjini, xo nkishazoea ntawika, usiku mwema wapendwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.