Mkuu kifaru, kwa upande wangu sioni kama kuna tatizo lolote, chamsingi hapa ni maelewano tu. Kaka yangu kaoa mwanamke aliyekuwa na mtoto, lakini maisha yao ukiyaona yanaendelea na familia yao ina furaha kabisa.
Kama dogo alishamega litakuwa tatizo tena kubwa tu. Kwanza kaka atakosa imani kabisa na ndugu yake punde anapokuwa na shemeji yake. Unajua mapenzi ni mchezo wa ajabu, unaweza ukakuta dogo na shemeji yake wakaanza kuvinjari kidogo kidogo na itakuwa hatari sana kwa ndugu hawa wawili. Ilishatokea...
Mungu awbariki washarika wote waliohusika katika kufanikisha ujenzi wa nyumba ya Bwana. Tunaomba mtuombee pia sisi washarika wa sinza ili nasi tuweze kufanikisha ujenzi wetu.
Ukeketaji ni kinyume na haki za binadamu. Wote wana makosa ambayo ni ukeketaji na la pili ni kusababisha mauti.
Kwani ndugu yangu kikwenu ukeketaji unaruhusiwa?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.