Geof , that is ur mentality en no body can change that other than urself,
Ila nikirudi kwenye mada Kaka Kilambi yuko sahihi baadhi ya maeneo na maeneo mengine anahitaji kusahihishwa kama alivyotanguliza kusema yeye mwenyewe.
maeneo ambayo mie nadhani yuko sahihi pale mama mwenye nyumba...
kwangu simuoni yeyote ambaye asingechemsha , nilikuwa namwamini mbowe lakini kwa haya yaliyotokea juzi kwenye uchaguzi mkuu wa chadema kanitia mashaka zaidi. hiyo CUF ndo haiko kabisa kwenye akili yangu maana huyo lipumba na mwenzie wamenichosha hata kuwaangalia kwenye Tv. na wote hawa makelele...
hahhahahahhahahaaaaaa tena hujawahi ona , labda tofauti yao ni kwamba wambea wa classic saloon wanapiga umbea wa 'Bossip' but celebrities wa kibongo, miss nani kafanya nini, marketing manager wa kampuni flani anatoka na demu flani, beyonce inasemekana anamcheat 'camel' na jamaa gani.
lakini all...
hahahhahahaahahahaaaaaaaaaaaaaa yaani umenichekeshesha hapoo FL ile mbaya hivi hujajuaaa humu kuna kila aina ya ubongo? usijali waache wao watanie lakini wako wa ubani anajua unachomaanisha, nimeipenda style yako ya kusema nakupenda kwa mumeo.Hongera
watu bwanaaa majina hayohayo yakitajwa kwenye nyimbo za twanga pepeta,FM academia,Akudo Impact............ tunazichekelea na kuzifatisha kuimba huku tukitoka jasho kulicheza sebene , lakini akitaja mpokiii oooooh naboreka ................... acheni chuki binafsi, au mkuuu ndo wale kundi la akina...
Well kwangu mie naona inategemeana na maumbile ya mtu binafsi, unajua kuna watu wengine wameumbwa na maziwa makubwa sasa hawa wa aina hiii wengi wao huwa wanaona kama wameonewa tangu usichanani huwa wanajaribu sana kuyaficha kuna wengine huwa wanapata kibyongo cha kujipa wenyewe kisa wanajaribu...
kama ndo hivyo usemavyo basi jukumu lako kutueleimisha kwanza jinsi ugumu wa hiyo issue kushirikishwa wafanyakazi wa voda badala ya kushambulia uwezo wa mtu wa kufikiri, kumbuka kila mtu ana field yake kama wewe mtaalam wa IT,haimaanishi unayajua mambo ya sheria au accounts, and viceversa.
kesi ngapi za wizi wa bank zimeprove kwamba wahusika wanakuwa watu wa ndani wa bank wafanyakazi au walinzi, sasa hizo vocha za mil 90 , mtu wa nje atazipataje bila ya kuwa na inside info en help?
mtazamo wangu wewe ndo umekurupuka kumchenjia dada hapo juu.na kama kweli great thinker as you claim...
Racial Differences On Psychological Well-Being Of Never-Married and Divorced/Separated Women
Hanae Kanno, MSW, MA , University of Pittsburgh, PhD Student, Pittsburgh, PA
Hyunzee Jung, MSW, University of Pittsburgh, PhD student; Graduate Student Assistant, Pittsburgh, PA...
Mummy nna maoni tofauti kidogo, TRIPLETS said it well, uwe ndani ya ndoa usiwe ndani ya ndoa what matters ni mapenzi, na sote tunajua kwamba kwenye mapenzi ndo kwenye maumivu haijalishi uko married or not.
Japo tunajua kuwa ukipenda utaumia lakini pia nature haituzuiii kupenda ,tunapenda na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.