Hawawezi lalamika coz akili zao ni fupi km pua zao..sasa walitaka Rais wetu akae siku zote hizo huko south Africa kwa gharama zipi? au wanadhani kukaa kule ni bure labda km mazishi ya kwetu uswazi waombolezaji wote mnalala chini na kula kande na ubwabwa?? Mijitu mingine humu JF sio Great...
Sie wanadamu tuko tofauti sn..Mungu atuhurumie sn wandugu. Wote tuliochangia uzi huu tumekazania "alaaniwe, alaaniwe" Mbona tunahukumu dhambi ya uuaji tu hapo vipi kuhusu dhambi ya uzinzi ambayo asilimia kubwa tunaitenda kila siku iwe kwa kuwaza, kunena au kutenda? Tukumbuke aliyeamrisha "USIUE"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.