Search results

  1. MAKANJAMNA

    Je, unatumia Chopping Board kwa kukatia vitunguu na nyanya?

    Hata mimi siku hizi simenyi nyanya na nimegundua taste imekuwa improved yale maganda ya nyanya yana taste yake amazing. Halafu unakuwa na takataka chache.
  2. MAKANJAMNA

    Je, unatumia Chopping Board kwa kukatia vitunguu na nyanya?

    Sio sahihi, kwanza ukisaga nyanya unaifanya kuwa pulpy hivyo unaua fibers ambazo ni nzuri sana kufanya mchuzi kuwa mzito. Pili mapishi hayalingani, huwezi kusaga nyanya halafu ukaweka kwenye kachumbari. Kusema mtu hajui kupika kwa sababu hajaweka viungo ambavyo unataka wewe pia sio sahihi...
  3. MAKANJAMNA

    Je, unatumia Chopping Board kwa kukatia vitunguu na nyanya?

    I use a bamboo chopping board. It makes me feel like an accomplished chef lol..
  4. MAKANJAMNA

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Kumbuka lazima ujenge miundombinu ya kuuleta huo umeme, na pia lazima kuwepo vituo vya ku boost huo umeme. Na hizo nguzo haziwekwi kabla reli haijatandikwa. Itakuwa ngumu kuelewa maana huko kwenu hamna vitu kama hivi.
  5. MAKANJAMNA

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Diesel na Electric even Hydrogen trains zinapita. Tofauti na SGR ya Kenya, Reli hii ina miundombinu ya umeme ambayo inafacilitate treni za umeme kupita. Hivyo ujenzi wake pia huchukua muda.
  6. MAKANJAMNA

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Huu ni mradi wa design and build, mkandarasi anasanifu huku anajenga. Miradi kama hii mara nyingi huchukua muda mrefu/mfupi kuliko tarehe iliyotangazwa kuisha sababu kubwa kuwa ni changamoto ambazo wanakutana nazo wakiwa wanajenga. Kwa mfano ingekuwa mradi umeshasanifiwa tayari na mkandarasi...
  7. MAKANJAMNA

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Kwa wale mnaosema kwa nini reli yetu imechukua muda mrefu, kumbukeni hii ni reli ya umeme, ni ya kisasa zaidi kwenye ukanda huu na hivyo mambo lazima yaende kwa uhakika. Waswahili wanasema vizuri havitaki haraka.
  8. MAKANJAMNA

    Kenya ni ukabila, ukabila ni Kenya haviwezi kutenganishwa, Wakamba wamkingia kifua Sonko

    Sehemu kubwa ya waTanzania sasa hivi wamelelewa mbali kabisa na makuzi ya kikabila, karibia wote wamelelewa na desturi za Kiswahili na ndio maana tunajiita waTanzania. Toka asubuhi mpaka jioni hamna mahali kabila langu limenisaidia. Kuwa mkurya au mhaya hakuna lolote ambalo nalipata kwa kuwa...
  9. MAKANJAMNA

    Mtendaji wa Kijiji cha Hydom amshindilia makonde mwanakijiji. Asimamishwa kazi kupisha uchunguzi

    Hahahahaa.. we jamaa inaonesha umetumiss sana. Njoo huku bongo kidogo ule maisha basi maana inaonekana huko kwenu hali si hali.
  10. MAKANJAMNA

    Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

    Sumu ya Aflatoxin inatokea tu ikiwa mahindi yalivunda, kama yalikauka vizuri na hayakuingia maji mahindi hayana shida kabisa. Pia sumu hiyo inaua haraka, otherwise ungeona watu wanaanguka kila mahali kwa sababu ya kula ugali. Sawa inabidi tuchukue tahadhari lakini sio kweli kuwa unga wa dona...
  11. MAKANJAMNA

    Gov’t allocates Ksh.1.9 billion for purchase of school desks from jua kali artisans

    Huku TZ madawati ya shule yanatengenezwa na hao hao local artisans (kama juakali) tena huwezi sikia serikali imetangaza maana ni kitu cha kawaida kwetu ku support viwanda vidogo.. sasa majirani, hizo Bilion 1.9 mna uhakika zitafika kwa wahusika??
  12. MAKANJAMNA

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Reli itaisha vizuri tu.. tena ukizingatia kipande cha Moro-Dodoma ndo kirahisi na sehemu kubwa imeshafanyika, by 2022 tunaenda Dodoma na treni ya umeme. Delays kwenye miradi ya miundombinu ni kitu cha kawaida, ukizingatia huu ni mradi wa design and build, ina maana challenges huwa zinakuwa...
  13. MAKANJAMNA

    Ethiopia sasa ni nchi ya pili Afrika kwa ku-export maua. Kenya bado ni ya kwanza

    Jamaa arguments zimeisha amebaki na Albino... 🤣 🤣
  14. MAKANJAMNA

    Ethiopia sasa ni nchi ya pili Afrika kwa ku-export maua. Kenya bado ni ya kwanza

    Nchi zote za Africa Mashariki zina progress nzuri sana, arguably Kusini mwa Sahara sisi ndo region ambayo tunafanya vizuri (Rwanda, Ethiopia, Kenya, Uganda na Tanzania) tuna Uchumi mzuri sana na uliotulia na ambao unakua kwa kasi. Haya mashindano hapa jamvini hayamaanishi hatutaki nchi yoyote...
  15. MAKANJAMNA

    Ethiopia sasa ni nchi ya pili Afrika kwa ku-export maua. Kenya bado ni ya kwanza

    Nilienda once kule Naivasha maeneo ya Kongoni kwenye mashamba ya maua.. almost all of the farms are owned by Muzungus (Dutch and English, some Asians), they have beautiful lake front houses, ila ukitazama maisha ya wafanyakazi wa hayo mashamba kuanzia nyumba wanazokaa inasikitisha sana...
  16. MAKANJAMNA

    #COVID19 BBC: Uganda yaweka wanajeshi mpakani na Tanzania baada ya watu kutokea Tanzania kugunduliwa na Corona

    Wengine wanafunga mipaka.. Wengine wanaweka wanajeshi mipakani.. Wengine wapo bize kutangaza maambukizi mapya, ilhali hawawezi kuwatibu wanaoumwa.. Wengine wanapiga push up.. Huhitaji kujua kwenye hili kati ya TZ, UG, KE na RW nani akili kubwa..
  17. MAKANJAMNA

    Low Internet Access Driving Inequality

    Sisi tunatumia data za IMF, hizi takataka umezitoa wapi?? hata Mimi naweza tengeneza za kwangu...
  18. MAKANJAMNA

    Low Internet Access Driving Inequality

    Hatujakataa, Kiwanda kipo Arusha, wawekezaji wakenya, kimeajiri wabongo, kinalipa kodi bongo.. kilianzishwa na wabongo.. kwani shida ipo wapi?
  19. MAKANJAMNA

    Low Internet Access Driving Inequality

    Tanzania na Uganda tupo vizuri. Majirani zetu Middle Income Country hoi. Naona ile internet wanayojisifia humu itakuwa ipo hapo Nairobee tu.
  20. MAKANJAMNA

    Rais Uhuru Kenyatta: Wakenya hawapaswi kujilinganisha na mataifa yanayoficha taarifa za COVID-19

    My brother, haya mapokezi ya Lisu unaweza kuyalinganisha na mafuriko ya 2015? Kama ni kuamka waTZ waliamka kipindi kile sio leo, na mikwara haijaanza leo ilikuwepo siku nyingi tu. In short yalikuwa ya kawaida sana, yani hata foleni hayakuleta, enzi zile za Lowasa haikuwa hivi. Kama mchangiaji...
Back
Top Bottom