Siku nyingine usikubali kutoka hapo ofisini paka wakupe sababu yenye mashiko kwamba nikwanini hawataki kufanya kazi ilinayowaweka pale. Na ukiwa unauhakika na kile unachokifanya unatakiwa uwe mkali paka wakutekelezee' vinginevyo wasimamishe shughuli zao... Na wakisema umevunja taratibu zao...
Hamna swala lakukatishana tamaa ndugu' tunachojaribu kukifanya ni kuwa watu tunapaswa kuwa makini na haya mambo!! Tukitambua kuwa shetani nae anafanya yake' ndio maana ukifuatia maelezo yangu Kuna mahala nasema hamna namna yakuweza kutambua chanzo cha hayo ayafanyayo zaidi ya maombi.
Anachokiamini yeye ni kuwa kila kinachoonekana kizuri kwaakili za kibinaadamu basi kina baraka za MUNGU' kitu ambacho si kweli!! Nadhani hajui kuwa katika ulimwengu wa roho (ulimwengu usioonekana kwa macho ya kawaida) kuna nguvu mbili kinzani.
Asante kwa maelezo mazuri mkuu" kuna mdau kasema eti marekani watoto WA namna hiyo wanatokea sana.
Kuna kitu umekisema hapo juu" juu ya watoto wanaopatikana baada ya kuhangaika sana katika ndoa bila mafanikio mtu anaamua kwenda kwa waganga" Hilo nalo pia lakuliangalia kwanamna yake.
Sawa vipo hatujabisha' ILA jaribu kufuatilia kwa undani ndio utajua tunaamanisha nini!! Totally they don't exist from no where' there are some condition and situation which favour them in one way or another' wamarekani ni watu waajabu sana wanachotaka wao ni dunia iamini kwamba they posses some...
Umeelewa kinachozungumziwa lakini?haya huyo mtoto kagundua nini? Kuna mzungu alizaliwa akijua kuandika bila kufundishwa namna ya kuandika? Tusingekuwa na maswali kama angekuwa anafanya mambo ya kutengeneza vitu Fulani bila kufundishwa ILA hili la kusolve equation bila kufundishwa hata formula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.