Nina miaka 23, niko mwaka wa kwanza wa stashahada ya ualimu, natafuta mchumba mwenye umri chini ya miaka 22 ambaye hajali uwezo na kipato cha mtu.
Sibagui rangi ya ngozi whether albino or not, muhimu, awe na mapenzi ya dhati na anayejali na pia awe na uamzi wa hakika na siyo kuchezea akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.