Ila kuna watu mna vichwa vigumu sana aisee, ivi kweli mpo serious kudhani kwamba Magufuli atashindwa katika uchaguzi wa mwaka huu.? Au mnachangamsha kijiwe tu.? Jaribuni kutembea kidogo huku vijijini muone watu walivyo na hamu ya 28 Oct kwenda kumpa kura nyingi sana Magufuli kwa makubwa...
Lwezera shule ya msingi, naijua vizuri sana hii shule. Pale hakuna uhaba wa vyumba vya madarasa kwa kiwango hiki mpaka wanafunzi wajae hivi.
Huenda huyu mwalimu aliunganisha mikondo yote akawaweka kwenye darasa moja ili ionekane kuna shida kubwa kiasi hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.