Heshima mbele wanajamvi,
pamoja na kuwa Rais Ana mamlaka makubwa ya kuteua mawaziri, kama wengi mlivyosema, haangalii competence zaidi ya ku-personalize, tunaambiwa pia mgawanyo wa kimikoa n.k hivi mama Mbene ni nani hata JK amng'ang'anie hivi?
Tumekuwa nae hapa Wizarani ya Fedha alipokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.