Natafuta msichana wa kazi asizidi umri miaka 30, awetayari kufanya kazi nje ya Dar,pia awe na uelewa wa kufanya kazi za ndani.
Kwa mawasiliano piga 0713239363 au 0713708222.
Mshahara ni maelewano kulingana na kazi.
Alipita Mtwara mjini kimya kimya kaenda sehemu inaitwa Msimbati akijua kuko shwari, watu wamekata mwembe na kuziba njia pamoja na kupanga mawe, wameapa hatarudi salama bora arudie njiani.
Kazi ipo huku Mtwara
SIKIENI ENYI WATANZANIA..MUNGU AMESIKIA VILIO VYETU, TUOMBEE VIONGOZI WANAMNA HII MUNGU AWAPUNGUZIE ADHABU MAANA UNABII UNASEMA: A year of surprises - I am seeing many great, famous, popular and rich men and politicians will become helpless and in need of help in matters of sickness, disease...
Juzi nimesikia Kagasheki hafahamu kwamba Nyarandu ana miliki kampuni ya Tours, sasa Jana nasikia KM hawezi toa maamuzi ya tukio la mzungu aliyekamatwa pale KIA akisafirisha nyara bila kibali maalum, kisa huyo mzungu ana fahamika kwa mh. Waziri,
Haijapita week Waziri wa Maliasili alinukuliwa...
NBC haijanunuliwa na Barclays ila ABSA imenunua Barclays Bank Africa,hivyo basi wote (NBC & Barclays Tanzania) zipo chini ya ABSA ambayo ndio benki mama inaayo miliki NBC 55%, at present NBC wapo kwenye restructuring hivyo Mafuru alikuwa anapigwa chini muda sio mrefu..ameamua kukwepa hilo...
Huyu kamanda mm namkubali sana,coz najua historia yake alikotoka alikuwa jirani yangu pale Mwanza, jamaa tuweke mbali u si si em,huyu kamanda ni mchapa kazi na ni mtaji mzuri kwa CCM kama watamtumia vizuri..ata Nape hamwezi huyu kamanda kwa uchapa kazi.
Bei halisi ya CT-SCAN Machine na sio Chumba na machine..
The compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx...
HABARI ZA KUAMINIKA NA ZAKUSIKITISHA ZILIZOTOLEWA NA CHIEF OF STAFFS WA GHANA, NI KWAMBA RAIS WA NCHI HIYO AMEFARIKI GHAFLA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 68, HE WAS THE FIRST PRESIDENT WITH PROFESSOR IN AFRICA, MWENYEZI MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI, ALIKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA MAENDELEO YA GHANA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.