I've just come back from ban, yes it's painful but it brings discipline . But equally people like Mokala who incite hate against other segment of a community should be banned !
Am seeing a heated debate between Jokakuu kuu and Murutongore what is the matter ? I suspect Jk is a tz and Muru a Rwandan ? Me Mhangaza wana.niiita eti Mnyarwanda au Mrundi. Jk mtu aliyeua watoto wako wote na wazazi wako na mke wako unaweza kujadiliana naye amani kama bado anakukimbia na...
MOKALA is a disgrace to Tanzania , chuki uliyonayo juu ya hiyo asili unayoichukia itakugharimu wewe mwenyewe. Tofautisha kabila na siasa , hata Kagame ana maadui wa kisiasa wa kabila lake ! !MOKALA Mi Mhangaza, watu wa kwetu wamekwenda hewani kama wa Burundi na Rwanda njoo unifukuze ! Kama .ni...
Jasusi umenena ! The fact kwamba sichangii Hu.mu ndani ni watu kama wanaotumia makabila ya watu kufikia conclusions zao wanazozita ! Siasa na kabila .ni vitu tofauti ! Je watusi wote wanna support Kagame ? Wachaga wote ni Chadema ? watusi wote ni Wanyrwanda ? wakurya wote ni WaTz ? wadigo wote...
Mokala you are a Congolese , utulie wote tuwasetiri. Tanzania hatubagui , lakini kuanza kuchukua wenye matatizo kama kwako siyo! Si kila mtanzania anachukia wanyarwanda , wawe wahutu au watusi! what happened to them is politics that went wrong , just like the present Arab spring that is still...
hao machangu wa dodoma wanawabaka ? .si mnajiingiza king wenyewe ? penye biashara kuna mteja baba ! wengine wachonga fanicha na nyie mwachonga maneno !
waambie , naona kuna watu wanatoa mapovu bila kujua history ya nchi za Rwanda,Burundi na Uganda .wanashindwa kujua kuwa wanafanya kama wao kwa kufanya hivyo !
Mimi niko central government , tena wizara nyeti ! njoo uniguse ! uhamiaji nashinda nao kila siku ! unadhani utabadilisha kitu kwa ubaguzi na chuki ! ya ngoshwe mwachie ngoshwe !
jamani hasira za nini ? tunatakiwa wakongo , wanyarwanda tuelewane .... of course Tanzanian territorial integrity will have to prevail .. chuki haikuwahi kusaidia binadamu yeyote , killing people ni kuua raslimali watu, who will buy goods if you don't have customers ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.