ni kweli kula matapishi ya viroba ni ngumu sana..big up dr slaa kwa kuhama chadema maana kumkaribisha lowasa na kuwa mgombea huu ni upuuzi uliopitiliza...lema hawaongei halaf mnasema ni ukombozi?
daah yan humu ndan watu mna roho mbaya sana...pindi wa watu alikua mtoaji mzuri sana wa michango ya maendeleo kama mtakumbuka amewahi kuchangia elf 15 halaf leo badala ya kumfarij nyie mwamzodoa!
sometimes malipo huwa hapahapa duniani,hivyo eddo awe mpole tu maana ndicho walichopanda 2005 sasa wamekivuna 2015...Kikwete hana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.