Naona mnataka kufa siku si zenu. Hii nchi kwisha habari yake. Ushauri wangu siyo kuwataja. Ila tufanye kampeni wakose soko tuone watayafanyaje. Tuondoe mateja wanaoonekana na waliojificha.
Mh Mwigulu. Nimekukubali wewe ni mzushi wa historia. Unakariri kuwa shilingi ya Tanzania ni sawa na ya Kenya, kwamba Dollar ya USA ni sawa na ile ya Zimbabwe. Kikundi siyo jina lake, bali ni matendo yake. Hivi nikikwambia kuwa kuliwahi kuwa na kichaa anaitwa Mwigulu utasema ndo maana uliitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.