Mdogo wangu amekuwa akusumbuliwa na Shida ya constipation siku nyingi sana, sasa Leo ameniuliza juu ya dalili alizonazo kuwa ni kitu gani na he kinatibika?
Ni hivi anadai kuwa siku hizi akienda choo kunakuwa Hanna connection kati ya tumbo na njia ya haja kuwa na hata akitumia nguvu nyingi...
JF habari,
Kwanza nina hasira sana, nimezaliwa miaka 24 iliyopita nimelelewa na mama tu, siku zote akisisitiza kuwa baba yetu alikufa Kabla hatujazaliwa (tupo mapacha ).
Nikiwa mwaka wa kwanza chuoni ghafla baba huyu alitokea nikaonana nae akasema garama zote za Chuo atalipa sasa mimi sikuwa...
Habari JamiiForums!
Mimi nimehitimu shahada ya kwanza katika sanaa ya maendeleo BACHELOR OF ARTS IN DEVELOPMENT STUDIES-BADS mwaka jana UDOM, naishi Wilaya ya Nyamagana.
Natafuta kazi ikiwezekana hata ya kujitolea tu. Yeyote anayeweza kunisaidia tuwasiliane 0753160075 au whatsApp no hiyohiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.