Wakuu,
Naomba yeyote anayeuza au kujua mtu anayeuza Ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa lita kuanzia 6 kwa mkamuo, naomba anitaarifu nahitaji ng'ombe wawili wa aina hiyo. Kama wakiwa jamii ya Friesian nitafurahi zaidi.
Nipo Dar es Salaam
Asanteni sana
Wakuu,
Naomba yeyote anayeuza au kujua mtu anayeuza Ng'ombe wa maziwa anayekamuliwa lita kuanzia 6 kwa mkamuo, naomba anitaarifu nahitaji ng'ombe wawili wa aina hiyo. Kama wakiwa jamii ya Friesian nitafurahi zaidi.
Nipo Dar es Salaam
Asanteni sana
Wakuu,
Ninahitaji nguruwe dume mkubwa mwenye uwezo wa kupanda jike lenye kilo 120 au zaidi. Akiwa large white au landrace itakuwa vizuri zaidi. Mwenye naye anipe bei tufanye biashara, nipo Kigamboni Dar es Salaam.
Wasalaam
Tougher
Wakuu,
Habari ya kazi. Naomba kujua wapi napata soko la uhakika la pembe za ng'ombe? Aliye na contacts naomba anipatie.
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Tougher
Wakuu,
Nina Shamba langu lenye ekari 40 maeneo ya mkuranga, Ninataka kusafisha jumla ya ekari 10 ili niweze kujenga mabanda ya mifugo na kupanda mazao machache. Ninaomba msaada mwenye kujua wapi ninaweza kupata either Bulldozer, Excavoator, au machine yoyote yenye uwezo wa kusafisha shamba...
Wakuu,
Majina ya watoto waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza yametolewa hadharani? Kama tayari naomba kujua wapi naweza kuyapata.
Natanguliza Shukrani
Ninahitaji mtu au kampuni inayoweza kunifanyia registration ya biashara zangu 3 (BRELA tayari nimemaliza nahitaji leseni),
1. Licensing ya Insurance Agency/Broker
2. Licensing ya Micro finance Company.
3. Mobile money Agency business (for all major Telecom coys i.e. TigoPEsa, Mpesa, Airtel...
Ndugu zangu,
Mimi ni mkulima mdogo wa korosho katika mkoa wa pwani. Mazao shambani mwaka huu hayakuwa haba licha ya kuibiwa kidogo (huu ni uzembe wangu niliajiri mtu asiye muaminifu licha ya kumpa ujira mzuri), nilifanikiwa kupata jumla ya kilo 1500 za korosho.
Malengo yangu ya mwaka huu...
Wakuu poleni na kazi,
Nahitaji kusafirisha ng'ombe kutoka mbeya kuja Dar. Naomba kujua ninaweza kupata wapi usafiri ambao ni economical kusafirisha ng'ombe kama 10 hadi 15?
Kiwanja chenye ukubwa wa Square metre 2350 kinauzwa. Kiwanja kipo kigamboni kimbiji karibu na Dege appartments, ni tambalale hakina miinuko wala mabonde. Miundo mbinu ya barabara na umeme tayari ipo. Kiwanja ni surveyed na kina hati. Bei ni TZS 80 millioni. Hakuna dalali karibu tusemezane
Kuna msemo unaosema usitazame na kutamani mafanikio ya mtu peke yake, tazama pia na njia alizopitia kufikia mafanikio hayo. Si kwa kilimo pekee ni katika jambo lolote lile ulifanyalo utakumbana na changamoto, mafanikio yako yatategemea mtazamo wako katika changamoto hizo na utayari wako...
Habari zenu ndugu zangu,
Ninahitaji ng'ombe wadogo wa kisasa (chini ya mwaka 1 prefarably) kwa ajili ya kununua. Nipo Dar es Salaam, aliyenao naomba anipatie bei yake na yupo wapi. Kwa wale wa Dar na pwani nitakuja kuwaona hapo walipo, kama upo mbali na Dar naomba weka na Picha...
Habari zenu ndugu zangu,
Ninahitaji ng'ombe wadogo wa kisasa (chini ya mwaka 1 prefarably) kwa ajili ya kununua. Nipo Dar es Salaam, aliyenao naomba anipatie bei yake na yupo wapi. Kwa wale wa Dar es salaam na Pwani nitakuja kuwaona hapo walipo, kama upo mbali na Dar naomba weka na Picha...
Wakuu mwenye uelewa anisaidie.
Naomba kujua gharama za kuchimba kisima chenye urefu (kina) cha mita 85 katika wilaya ya Mkuranga maeneo jirani na kimanzichana.
Natanguliza Shukrani
Tougher
N.B Nimekwishafanya Survey na report imetoka kuwa naweza kupata maji kwa kina hicho.
Wakuu,
Yeyote anayejua tafadhali naomba anijuze. natafuta mabanzi kwa ajili ya kujengea mabanda ya mifugo shambani kwangu. Tafadhali suppliers mniambie yapo wapi na mtaniuzia bei gani kwa kila banzi.
Asanteni
Tougher
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.