Yaani wana jf hawapo makini.Jamaa anawapima kama mnakuwaga makini na usomaji,yeye kaweka tarehe ya leo then akasema jumatatu,kitu ambacho hakipo,story yakutunga hii
Hv kwanini Dar sasa hivi inakera na inaonekana si salama tena?Hv kwanini raia wananyanyasika pasipo sababu za msingi,sisi sote niwatanzania,ila najua kwamba tunazidiana kiuchumi,utakuta wengine wanamaisha fukara,wengine masikini,wengine wenye maisha xa kati na wengine matajiri,na wengine ni...
Sio lazima upost kitu chochote humu jf.JF sio solution ya kila kitu.Vitu vingine unatakiwa ufanye utafiti wewe mwenyewe.Au unatafuta sababu yakuisimanga F.F.U?,kaa chini ufikirie maisha yako na si maisha yawenzako.AchaMAJUNGU MKUU.
Hoyaaaa,acheni mambo ya uduwanzi,kwann mnaturusha roho juujuu hivyo?yaani story ilivyokaa unaweza ukajua kweli,ndo maana nimestuka mapema nakugundua kuwa ni uongo,kwani leo ni siku yawajinga duniani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.