Wavuta Bhangi walikuwa wakivuta bhangi kwenye jumba kubwa linaloendelea kujengwa. Bangi ikiwa imewakolea, wakaishiwa kiberiti. Mmoja wao wakamwagiza akaazime kiberiti.
Mwenzao akazunguka kwenye hilo jengo akatokea palepale alipokuwa na mazungumzo na wenzake yakawa hivi. (Bila kujua kuwa...
Hii inalipa watu wangu, jaribuni, lakini siku zingine hawa jamaa huwa ni wasanii, hii inaonekana ni kama njia ya kujitangaza tu jamani, maana naona hapa lugha ya kibiashara ndo imetumika zaidi, sijui, ila mimi siwezi jaribu maana najua watapewa watu wengine ambao wanawajua wao. hii noma sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.