Mimi sifikiri hivyo, Zito aliamua kutofautiana na muelekeo wa chama chake. Haikuwa sawa kuwafukuza akina J. Shonza na wenzake halafu ukamwacha Zito.Kwa wanaoiamini CHADEMA ilikuwa ni swali kubwa sana kumwacha ndani ya CHADEMA Zito. KILICHOFANYIKA MIMI NAONA NI SAWA. KUNA WAKATI KUNA HAJA YA...
Wakuu nawashukuru wote kwa kuwa tayari kusaidia kwa kutoa ushauri na mawazo kwa wingi kiasi hiki, asanteni.
EIYER na KAHATAN kuna sehemu wamesema, ilikuwa ni haki ya yeyote kutoa mawazo yake kunisaidia, ni kweli kabisa, ni hivyo nimeheshimu kila wazo la mtu kwa kuwa ilikuwa na lengo la...
Ukiangalia post yenyewe juu kabisa ukaunganisha na hapo niliposema kazi /////nyumba ninayoishi///////gharama za umeme utapata muunganiko mzuri. nahisi umesoma sehemu niliyokuwa najaribu kujibu maswali na mawazo niliyopewa.Si pole yako umeuliza ni sawa.
Nework haiko vizuri huku kwetu, najibu kwa ujumla tafadhalini:nieajiiliwa na taasisi moja baada ya kufaulu usaili
nna mahusiano mazuri na majirani,sijaamua kuwa na rafiki kwa ajili ya mahusiano ya kimapenzi ..hivyo.. sina kabisa.. ila naongea sana na watu wengi wanawake kwa wanaume.
Nafasi...
Nifanyaje,
Nyumba ninayokaa, hali imefikia napigwa na kutishwa usiku wa manane, nimefikia nashindwa kulala maana hali inanitisha. Mara ya kwanza nikilala nilikuwa napata usingizi wa kulazimishwa baada ya hapo nahisi kukualiwa na kitu kizito ajabu najipigapiga kujishtua na inakuwa ngumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.