Duuu!! We Mrundi ni nusu Kichaa kabisa. Jamani, hivi Mirembe bado inafanyakazi vizuri? kwa kweli huyu Nesi inabidi awahishwe maaneka naona hari imejirudia tene upyaaaa.
Aidha wewe ni mbumbumbu hujui unachokiongea, au unafanya makusudi kujifanya hujui. M23 inatokea kwenye kundi la wa Congo ambao wanaongea Kinyarwanda. Wanapatikana kwenye maeneo ya Kivu kaskazini na Kusini kwa zaidi ya miaka 400 sasa. Haya maeneo wanayoishi kabla ya mkutano wa Berlin ulioigawa...
Hahahaaaa! I new you can't resist telling your untrue stories, Vipi bei ya Gold imesimamaje kwa sasa? Kuna mshikaji ana gram 4250. Yuka anatafuta highest bidder.
Sio kweli hata kidogo, hii doc. imetengenezwa ku suit agenda ambayo hata mleta maada anaihamasisha kwenye post zake nyingi. Zaidi ya 65% ya hizi picha wameandika Tutsi but it is not and am very sure of what am saying. Kwa yale majina ya maaskari sifahamu chochote lakini kwa hizi picha zingine...
Kwa Ufupi Majeshi ya SADC kwa kushirikiana na majeshi ya DRC ni kwamba wanashirikiana moja kwa moja na FDLR, hawa FDLR ndio hao waliofanya Genocide Rwanda ndio hao waliowafukuza Raia wa Congo waliojazana kwenya makambi ya wakimbizi ndani ya Uganda, Rwanda, Kenya na sehemu nyingine Duniani ambao...
Kibarango kweli kibarango kama jina lako, Kwanza story zako siku zote ni za uchonganishi hususa ni kwenye Suala lolote linalohusu Rwanda na Kagame, I am sure una sababu zako binafsi na wala sio huruma uliyo nayo kwa Raia wa Congo. Kwa taarifa yako hata hao M23 ni Raia wa Congo lakini najua wewe...
Umesikiliza vizuri! au umekurupuka tu, Ukizingatia majeshi yaliyopo Congo sasa hivi na yaliyokwisha ondoka ni dhahili kama watu wasingetumia busara pale uchonganishi ulikuwa dhahiri.
Ngoja ni pin kabisa, Naomba uwe karibu wakati huo for information sharing, usije ukapotea. Kwa kifupi tu hivi sasa FARDC/SADC wameishiwa maneno kabisaa, yale majigambo waliyoingia nayo SADC unayasikia tena? Hivi sasa zinaendelea jitihada za kidiplomasia kwa ajiri ya kuficha aibu. M23 wakiweka...
Kama ukisema tatizo la Congo ni Rwanda utakuwa hauwafanyii haki wa Congo maelfu kwa maelfu walio ukimbizini Dunia nzima kutokana na kufukuzwa kwenye ardhi yao na magenga ya Interahamwe FDLR yakisaidiwa na FARDC yenyewe. +100000 wapo Rwanda, +400000wapo Uganda, +20000wapo Kenya, +50000duniani...
SADC walishaingia kitamboo, au umesahau ile speech ya Kamanda Ayub? Sema tu ni kwamba wamekuta hari sio ya kawaida, na hata pale walipojaribu kuingiza ile mizinga mizito hari iri badilika ghafra, kwa taarifa yako Mbu ametua kwenye korodani, inabidi diplomasia ndio ifanye kazi kwani hari sio...
Nani sasa wakufanya hiyo kazi? Hakuna mtu yeyote anayeweza kumlazimisha Rwanda hayo unayoyafikiria. Iwe Kijeshi iwe ki diplomasia. Lakini kama DRC ikiweza kuwarudisha FDLR wote kutoka Congo au iwanyang'anye uwezo wa kuendesha ugaidi dhidi ya Rwanda. Hapo itakuwa imefanikiwa.
Lakini hebu jiulize, SADC wako wapi? Mbona kimyaaa? Fuatilia kwa makini mambo sio mazuri. Sasa hivi ni Diplomasia inafanya kazi kwani mbu katua kwenye korodani.
Aisee hawa M23 wa sasa hivi ni Noma sana, wamekaa 10yrs wakijiandaa baada ya withdraw waliyoifanya mwaka 2013, ambayo watu wasiojua wanadai eti ilipigwa vibaya sana na walitegemea kuwa yale ya 2013 yatajirudia tena. Wakati Afande Ayub alipofika Goma alidai amekuja kumpiga M23 haraka sana, eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.