Pole zake kaka huyo..namshauri kupima DNA, ili kuprove kama mtoto ni wake au si wake, isije ikawa anahisi tu kwa sababu may be anamfahamu huyo exb wa mkewe..then baada ya hapo uamuzi anao mwenyewe..moyo wake ndo utaamua maana kama love itaisha maisha machungu hapo...Mungu amtangulie ampe...
Kwa mtazamo wangu suala la kudumu katika ndoa ni la wanandoa wote wawili..si suala la usomi wa mwanamke au mwanaume hapo....mwanamke anaweza kuwa msomi mzuri na ni mchakarikaji katika utafutaji maisha mazuri kwa familia yake..anaisaidia familia kwa hali mali..akaja katishwa tamaa na mume ambaye...
Hi Mrs Mtaba.. Huyo mumeo yupo hivyo tangu mkiwa wachumba, mkaoana au ni tabia mpya ameianzisha? kama yuko hivyo basi ni tabia yake na tabia haina dawa try to understand him..lkn kama ni tabia mpya...kuna kitu hapo...
Mi kwa mtazamo wangu wote wawili kwanza mpendane wote, upendo uwe pande zote kwani utaishije na mtu usiyempenda,mwanamke ampende mwanaume pia kwa kwa mwanaume vise versa, halafu kuheshimiana ni kwa wote, kuvumiliana, kuaminiana ni kwa wote pia. kila kitu kiwe balance hapo ndoa itakuwa salama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.