KOSA la kawaida kabisa ni kuzitafsiri hizo data na kusema 49% ya ndoa kwenye jamii zinakabiliwa na hilo tatizo. Lakini hakuna ubishi kwa hiyo % kuwakilisha HAO TU waliofika kupimwa LAKINI hawawakilishi jamii nzima.
We mleta hoja kichwa chako kimejaa maji ya madafu. Kitakacho kuokoa toka kwenye utangulizi niliotoa kwa moyo safi ni labda iwe tu kuwa wewe huelewi bandiko lako; vinginevyo .. Akili zako zemeshambuliwa. JPM hauhitaji huo ujumbe hapo: haumuhusu kwa namna yeyote ile.
Nimalizie kwa kusema kwamba...
Unaongea nini wewe, kwa hiyo hao wakina Sefue hawakufanya consideration ya hoja zote zenye mwelekeo kama wako ili kumnusuru huyo Bwana?
Kila kitu cha aina hiyo kilizingatiwa and so the decision remains solid and valid! Kuleee!:hand: Wapishe Upya wa system!
Hakuna namna sahihi ya kumshughulikia mtoto aliyedekezwa ... !
Ni Kishindo cha Maamuzi magumu kwa upendo wa dhati. Kumuamsha yeye na wezio wanaoendelea kudeka deka ..!
Hapakuwa na namna nyingine ya kumshughulikia Hosea na kwanamna hii kutuma ujumbe kwa WAZEE wengine na hasa waliowaweka kwenye...
Nice Story, Thanks Very Much For Your Time!
This story reminds me of my personal important realization!
That is; I am spoiled ..!
But much worse, I am much better off, because every human being i come across is Spoiled too!
In this case then; I am very courteous of how I relate my spoiled...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.