Duh, jamaa alipigwa bomu? inawezekana amemuonea huruma tu jamaa kwa wakati huu ,akishamzoea.....ninashaka kama ndoa itadumu,anyway inategemea alimpendea nini..huwezi kujua....
Teh teh teh,wadau mmeniacha hoi kwa kicheko! hii ndo Bongo. Mtajuaje kama yeye ni "matawi" na kiswahili kimempotea kwa ajili ya kukaa muda mrefu sauzi? Siyo mara moja nimesikia wadau wakiongelea hili huku uswazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.