Bi. Anna Makinda.
Bi. Anna Makinda (Pichani) amechaguliwa na Wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi kwa kura 211 kwa ajili ya kuwania Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waliobwagwa katika kinyang'anyiro hicho cha akina mama watatu walioteuliwa na Kamati Kuu ya CCM hapo jana kuwania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.