Ujajua dada hapo inabidi utulize akili, hata kama anamwanamke mwingine tatizo sio kumkimbia kikubwa hapo nikuelewana tu ili kulea mtoto,maana mpaka anakuwa na wake wawili anajua ataweza kwani tatizo nini.sasa mshatengana faida gani hapo unapata hata ukipata mume mwingine atakuwa anakutaka tu...
''sasa kumbe mdogo wako mwenyewe ndio anasaidia hao wasomali wa Al shabab then unakuja kulalama kuhusu authorities, usalama unaanzia kwa wananchi ambao ni pamoja na wewe na mdogo wako''
inawezekana unayosema yakawa na ukweli ndani yake but hujui kujenga hoja, na wala maelezo yako hayawezi kumconvince mtu!!Maelezo yako yameongozwa na hisia zaidi
tatizo kweli kweli ...... hata yale ambayo tunaweza kufanya sisi wenyewe (kama wewe uliyemuona) tunasubiri Rais aje!! Mwisho utasema hata mimi sina Vogue na Rais nakaa nae jirani pale hajanisaidia. Kama uliguswa na hilo ungesaidia kdg kuliko kulaumu tu
nadhani cha msingi hapa sio kujua materials yaliyonunuliwa wala specification .... Swali la msingi ni kwamba je kulikuwa na umuhimu wa kununua vitu hivyo???coz inawezekana kabisa gharama zikawa ni kweli zinafikia billion moja!!Je vitu hivyo vilihitajika kununuliwa au benki ilistahili kuingia...
"Kwa hali ya kawaida miye si wa kujibizana na watu wa aina ya Kimaro... ni kudhani kwao Dowans ni yangu ndo kumepeleka nchi kuingia gizani. Aibu,"
hapa kuna namna .... kwahiyo hili giza ni kutukomoa kwa kumshtukia kwamba ni yake ama?
Hatusemi kuwa Spika 6 ni msafi moja kwa moja ila kwa kipindi hicho alikuwa na kila sababu ya kuwasiliana na bwana Gire coz yeye ndiye aliyekuwa Mkurugenzi mtendaji wa TIC so sababu ya kuwasiliana isimuhukumu. Isitoshe hakukuwa na tenda za umeme wa Richmond kipindi hicho. kuhusu email ya rostam...
Japo hatusemi kama ni msafi moja kwa moja Ila Spika 6 atleast unaweza kuona alikuwa na sababu ya kuwasiliana na bwana Gire .... Ni yeye ndiye aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa TIC kipindi hicho,kwahiyo ni lazima awasiliane na wawekezaji wote. Bwana Rostam je?alikuwa ni secretary wa Gire?
Ukiacha hayo mengine kuhusu suala la serikali kutafuta makampuni ni kwamba Huwezi tu kumpeleka mtu mahakamani kwa style hiyo kuna kitu kinaitwa ONUS OF PROOF ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.