Kumbuka katika ahadi yako uliwahidi wananchi wako jimboni kuwa utawawekea barabara ya lami toka singida mjini hadi ilongero.miaka mitano yako inaisha hatuoni dalili mpaka sasa tena siku hio unaahidi na mkuu wa kaya alikuwepo akakuunga mkono.wanainchi wanahoji inaweza kukugharimu 2015.:loco:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.