Jamani kuwa makini kuna matapeli wana mtandao na wazungu wanatapeli pesa wanatumia namba za Kenya na Tanzania.
Nimenusurika kutapeliwa na matapeli hawa: walitumia hizo namba 0785 648 220
Hiyo hapo ni sehemu ya sms yake na baadae akanipigia simu kwamba yuko mpakani Namanga;
Hi ? Thank you...
WE MKUU HAYO TUNAITA MAHABA NIUUWE NIGALAGAZE NA NIPOTEZE KAMA NDEGE YA MALYSIA, MIMI NAVAA MPAKA SHANGA ZA GIRLFRIEND WANGU SEMBUSE NGUO! yAANI MTOTO KAPOENDA KWELIKWELI
Hilo ni jambo la kawida sana maana hata bible i9nasema kuwa mwanaume na mke wataungana kuwa mwili mmoja ama kitu kimoja. sasa kama mmekubali kuwa mwili mmoja itakuwaje msichangie mswaki??????????????????
TUNATAFUTA TENDA MBALIMBALI KATIKA MAKAMPUNI, NGO,MASHULE NA TAASISI MBALIMBALI NA KUSSUPLY VITU VYA AINA MBALIMBALI KAMA STATIONARY AND OFFICE EQUIPMENTS, T.SHIRT,ID PRINTING AND BUSINESS CARD, TOILET PAPERS, PAMPERS N.K. KARIBU WOTE TUFANYE KAZI
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Marketing and...
Tunatafuta tenda mbalimbali katika makampuni, ngo,mashule na taasisi mbalimbali na kussuply vitu vya aina mbalimbali kama stationary and office equipments, t.shirt,id printing and business card, toilet papers, pampers n.k. Karibu wote tufanye kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.