kumekuwa na maoni mbali mbali kuhusu video inayoonekana kama ni ya baba askofu.
napenda kusema tusiwe wepesi kuamini kila kitu cha mitandao. yapo maswali Mengi sana ya kujiuliza
1. Gwajima ni mjinga kiasi Gani wakati ameoa afanye uzinzi alafu ajirekodi na aache hizo kumbukumbu kwenye simu au...
Nimeona kitatange wa jamii yetu wenye tabia za kuduku. Wao ni kuchi wa kupiga wanawake kwa mitazamo yao na kulastara wa tabia zao.
sio lazima kuleibu awe sawa kitabia na mama yake na pia Sio lazima kila mwanamke mwenye kuvaa kugesi ana tabia za fila.
Wapo waliofildhulika na ufikia kiwango cha...
ndugu yangu haya mambo yapo sana. watu wanapigwa hata wasomi. unajiuliza unaksa majibu. tumeenda hadi kwa askofu msataafu wa kanisa la kipentekosti. nafikiiri kuna mambo mazuri watu wamesema ambayo nayaona yanaweza kusaidia.
kumuweka ndani kwa kipindi fulani na kutafuta mtandao wake na kuusweka...
dah nilijua yametufika sisi peke yetu kumbe na wewe. pole sana ndugu yangu. yaani nawaza mapaka nachoka. inafikia wakati nakosa amani kabisa. yaani kachoka madeni na kuacha watoto .
yaani mkuu, nilivyoleta hapa post tumetoka kuongea na mama. naye kasema kashindwa. baba naye kajitahidi anasema ameshindwa. ndio maana mpaka nimekuja kuomba ushauri hapa. tumewashirikisha hata viongozi wa kiroho lakini hawasikilizi
habari za mchana .
moja kwa moja kwenye maada. Nina ndugu yangu ambaye alikuwa naendelea vizuri sana kimaisha. alifanikiwa kujenga nyumba ya ghorofa moja na nyumba nzuri Mbeya, Arusha na Dar es salaam. Ni mtu mwenye mke msomi ambaye naye ni mfanya kazi pia
Cha ajabu kaka yangu kaacha kazi...
nianze kwa kusema mimi sina mrengo wa chama na ni mtanzania. Kura yangu itategemea ushawishi nitakaopata wakati huo na historia na uwezo binafsi wa wagombea
pia nitangulize pongezi kwa Mh Amiri Mkuu Rais JPM. nampongeza kwenye miradi yote ya maendeleo, ukusanyaji kodi hata kwa sekta zisizo...
hiki chama nakumbuka kilianzia shule fulani ruvuma kama sijakosea. ilikuwa ni miaka ya 2002 ili kupunguza tatizo la ukimwi na vishawishi kwa wanafunzi . sijui kama ndio hicho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.