kweli hata mm nimekuwa mtumiaji wa tusker muda mrefu lakini hii ya SBL ina harufu na pia ladha yake tofauti kabisa na ya zamani mm naona wangeipa jina lingine tujue ni bia mpyaa kabisa katika brand zao
mrithi wa dr shein angekuwa dr salim a salm hapo ingependeza sana kwani dr salim atatufaa kwenye diplomacy ili tena Tz irudi kwenye jukwaa la kimataifa
hivi kwani mkataba wake na TBC umemalizika? kama umeisha si vibaya aende na huko akatumie ujuzi wake kwenye kampuni binafsi tuone matunda yake.Je hiyo tv ya mheshimiwa lowasa ilishazinduliwa rasmi lini? huku mikoani mbona hatuipati
mafisadi wananguvu sana katika chama tawala kwa maana hata hao viongozi walisaidiwa kufikia hapo na mafisadi hivyo mtu yeyote anayepingana na hao siye mwana ccm mfano mzuri issue ya kagoda imefia wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.