Wakuu salaam! Naomba kufahamishwa mahali ambapo naweza pata duka la jumla la spea za bajaji aina ya TVS King kwa hapa Dar es salaam.
Natanguliza shukran zangu.
Multi Level Marketing and Islamic Shariah
By: Syed Sadat Husaini
Network marketing or Multi Level Marketing is a fast growing marketing strategy in India and the world over. Because of the attractive and easy earning profit packages it offers, it has become one of the greatest sources of...
Nimeamua kujikita kwenye ujasiriamali wa kilimo, hivi sasa nimeshalima mpunga kwa mara ya kwanza. Katika kujiandaa vzuri na kilimo nina lengo la kununua powertiller, Hivyo ninaomba msaada wa mawazo kwa wenye uzoefu na powertiller, ni aina ipi nzuri, horsepower ngapi, Bei zake zina-range kiasi...
Jamani naomba kuuliza aina nzuri ya jiko la umeme(two plates) ambalo ni imara. Nimetumia Singsung lakini limekufa haraka(miezi mitano tu). Natanguliza shukrani
Jamani mimi nipo ktk kuandaa Sisal Agribusiness Project.
Project duration ni twelve years. Nimesha identify cost zote na benefis. Pia nishaandaa Projected Cashflow statement ya mradi huo. Kasheshe imekuja wakati nataka kufanya Project Appraisal, nimekumbuka kuwa ktk kutafuta NPV, BCR na IRR ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.