Huyo jamaa usihangaike na waeshachnganyikiwa safari hii kama wataiba kura itakuwa kwa tabubu sana abda wakimbe na masanduku ya kura kama mkongoro mahanga
Mbona watu wa aina yake wako wengi huko ssm, hii nchi bwana bila shaka tumelaaniwa kama hawa ndo tunawategemea kututengenezea katiba wanaolamba miguu ya wafalme ili wapate kuishi tuna safari ndefu sana
nlitaka kushangaa usingecoment hapa ila watu kama nyinyi nimpango makusudu wa mungu kuwepo kwenye taifa hili maana ilisemwa mahali acheni magugu yaende pamoja na ngano hapo mwishoni nature itachukua mkondo wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.