kiukweli mimi sijui elimu na wataaluma wetu vinatupeleka wapi
Nadiriki kusema kwa sasa nchi ya tanzania kweli hatuwezi kuwa na kitu cha kitaaluma ambacho tunaweza kukitegemea
Sasa hao ma Profesa na Ma dokta ambao tuliwategemea wafanye tafiti za ukweli zenye data za ukweli ili waishauri serikali...
Nadhani ni muda sasa uongozi unaosimamia KCMC ikafanyia kazi hayo malalamiko
Kama sikosei mpaka sasa kuna kesi kadhaa inayonguruma mahakama kuu kanda ya moshi dhidi ya huyu mutu anaitwa Prof.shayo
Mpaka maprofesa wenzie waende mbele ya pilato kusaka haki basi ujue hapo kuna tatizo
Wakuu mbona kama inakuwa ni kijiwe cha majungu tena
Kwanza dada wa watu aliweka hiyo habari kwenye blog yake kwa manufaa yake na wapenzi wake imekuwaje imekuja hapa na majungu meeeeeengiiiiiiii.lol!!!!!!!!
Pili kwani yeye kununua ndege au kuwa na malengo ya kununua ndege tatizo liko wapi???mbona...
Nadhani hao watoto ndio jinsi gani wanatuonesha jinsi walivyo na ufinyu wa kufikiri mwisho wa siku tunakuja kukabidhi dhamana ya uongozi kwa wenda wazimu kama ho wajiitao wahasibu, wanasheria n.k
Nadhani ndio mana wanasoma chuo kisicho kuwa accredited sio makosa yao hao
Wakuu kitu ya SERENGETI iko pahala pake
Kitu muhimu TBL wanatakiwa kufanya ni kubadili department nzima ya R&D nadhani hawajui watendalo kwenye soko hili la ushindani
Kilichotokea jana ilikuwa niaibu tupu
Ukweli ni kuwa makwaia anatakiwa kubadilika katika uendeshaji wa kipindi chake,na kama hana washauri inabidi atafute lasivyo kama anapewa ushauri hapokei basi anaelekea kubaya.
Najua mzee wa upako umaarufu umeshashuka vya kutosha kabisa iliyopo tumsamehe bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.