Itabidi Raisi ukubali kua watanzania tumestukia mpango ovu uliotaka kutekelezeka achana nao tuachie bandari yetu, niwazi kua mkataba huo kila mtu anaona kua si mzuli hata wazili mkuu na mwanasheria mkuu waserikali walijitosa tu nakutetea kwasababu yalizuka maneno kua mbona hawaongei lolote...
Hii inch ni mbovu yani mpaka watu tuingie sikumoja barabarani Chama cha CCM wanafaidika kupitia wananchi ambao wengi wanaelimu duni(wajinga) hata secta binafisi wameiga, yani unamlipa mwalimu 370000, kwa mwezi mzima, halafu utegemee kwamba atafundisha vizuli? Matokeo yake elimu yetu inashuka...
Mawakili safi sana hapa palikua na rushwa kubwa hasa tenda inapopatikana bila kupitia talatibu za kitenda, yani kutangaza tenda.Na kujifanya eti tulikua tunauhitaji wa mwekezaji mwenye uwezo mkubwa na uzoefu ndo sanabu ya sisi kuwekewa mi shelia na kanuno za hovyo kwenye mkataba.
Sahihi kabisa mi naomba muhimili wa mahakama tuubinafsishe ili atakaechukua tenda aje nambinu nzuli za utoaji haki kwenye jamii maana rushed imejaa sana jambo linalosababisha kutokupatikana kwa haki, ilapia mwekezaji atusaidie kuondoa kero yakutumia muda mlefu kwa kesi mpaka kutoa hukumu.
Tanzania ndio inchi pekee ambayo Madreva wananyanyasika kuliko inchi yoyote Africa Mashariki na kalibia inchi zote zilizopo kusini mwa jangwa la sahara hii inasababishwa kwakiasi kikubwa nakinachosemwa sababu kuu ni viongozi wakuu serikalini. Kua wanahisa wakuu wamacapouny ya magari sijafanya...
Binafsi kama mkatoliki hua sipendi viongozi wa dini wanafiki kama kadnali Pengo ni hawahawa walihongwa pesa za Escro nakukaa kimya wakati wakisemwa wao huona furaha watu wakiwa wanavunjiwa heshima zao kujifanya wanyenyekevu lakini kiukweli ni wezi tu na watu wasiofaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.