Awali niliamini ACT kingeweza kuwa chama mbadala wa upinzani. Kumbe sivyo!
Kuna somo ACT wazalendo hawalijui;wanatumia the False Positive and False Negative Approach badala ya kubaki neutral kama ilivyopaswa.
Walifanya False Negative - Kukiona kitu kibaya ambacho sicho - wakati wa Kampeni za...
If UDOM is not a legacy then you have to find the new meaning of the word.
Tatizo humu wamejaa watoto wa Shule. Kama unataka kuanzisha mada ya JK anzisha!
Kuna watoto wengine wanasema JK ashitakiwe wanasahau aliyeua Rais wake!
Really Mzee Mkapa ana akili sana. Kama huamini muulize yule Mzee aliyetaka Urais mwaka 2005 nini kilichompata kutokana na akili nyingi za Mkapa!!
Asifiae mvua.....!!
Acheni kujitia ujuaji; mtoa mada hajakosea chochote. Mara ngapi tunasoma watu wakirudi makala za wengine tena kwa majina.
Mwanakijiji kaamua kutumika na hizi ndio gharama zake. Kwani mtoa mada kishatoa thread ngapi wa kuwazungumzia watu.
Sio huyu Mwanakijiji ambaye kule kwenye mada yake ya...
Mwanakijiji,
Matokeo ya Rais wa Tanzania yanakamilika bila ya kura alizopigiwa Zanzibar?
Acha kuwahadaa watu....!! Ukisikia Double Standard ndio hizo zako. Eti sina habari na Zanzibar!!!
Ungekuwa Mkweli ungesema na kwa Zanzibar; lakini umekubali kutumika!
Wewe endelea na...
Mwanakijiji,
Vijana wadogo wanaweza kukuelewa. Kwa wanaojua siasa hasa za Tanzania unawahadaa Chadema.
Mwaka 2010 Kura za Slaa hazikutokana na Uzuri wake bali chuki za kidini JK. Kama Lipumba alimpiga tafu JK basi TEC (rejea matamko yao) walimpiga tafu Slaa (haijaknushwa hiyo).
With Magufuli...
Ninyi vijana wageni Chadema msichokielewa ni kuwa mnapo inasibisha CUF na waislam au kejeli zenu Uislam cum udini hamjui kuwa kuna wanachadema wa ngazi za juu kabisa waislam wenye mapenzi na chama chao......Mtaje Mzee Bob Makani, Said Afri, Zitto Kabwe, Jafari Kasisiko,....hao wote ni waislam...
Mara ngapi? Wakati kitu kikiongozwa/kikishikwa /kikianzishwa na Muislam hicho ni cha Udini -Uislam. Ndio vita yenu na CUF. Ndio vita yenu na JK. Angalau basi mngeiletea nchi maendeleo tungejivunia ninyi wachapakazi wetu!! Kikowapi na umasikini wetu, ujinga wetu, maradhi yetu! Kuna watu wanasema...
Mpiga debe wa Mkapa leo ndio anaiona CCM itakufa. Yupo dwati moja na swahiba yake mpiga debe wa Mwandosya.
Baada ya kuhamia Billicanas leo ndio wanakuja na ngonjera za CCM kufa. Njaa mbaya sana. Sijui kwanini yule mwana CCM mtaka Urais kwa udi na uvumba hajawatembelea hawa Jamaa.
Hakuna...
Dogo, ukichemka unakula kona kimya kimya.
Umeingia na gia ya Miaka 50 ya Uhuru imegonga mwamba.
Ukaja na udini ukapiga chini.
Bado unaendelea kuzuga na ngonjera mpya.
Hivi hujishtukii tu.
Ulipaswa kujua kuwa choo ulichoingia sicho. Hatimaye watu wameshaijua vema sura yako halisi.
Watu...
Ndugu,
Tangu lini Kasheshe akawa Nungunungu. Muda wangu ni kidogo kuandika sana humu. Kweli wazanzibari watatuacha kwani sisi ni mabingwa wa kufanya vitu kwa mdomo; tunacheza mpira kwa mdomo, tunafanya kazi kwa mdomo. Mtu kaajiriwa na analipwa mshahara lakini anatumia hadi 4 hours za muda wa...
Watu huingia kwenye vyama na kutoka. Lakini historia pia hubadilika. TANU ilipoanzishwa wafuasi wengi walikuwa waislam. Mwenyekiti wa Chadema wa kwanza alikuwa Mzee Mtei (Mkristo), alipoondoka alichaguliwa Mzee Bob Nyanga Makani (Muislam) aliyeshindana na Ndesamburo. Kisha akafuata Mbowe...
Pasco,
Nimeandika haya kwa heshima kwako kama mtu unaejitahidi kuchambua mambo. Ni wewe uliyeandika kuwa CUF ndio chama pekee chenye wabunge maeneo makuu ya nchi - Bara, Unguja na Pemba. Hiyo ni ishara kuwa alau kwa uchache kina wafuasi maeneo yote.
Hebu fanyeni hesabu kidogo:
Mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.