Mliogopa kuandamana msiuawe. Haya wanawafata huko huko mitaani. Hizi kesi zitazidi kuwa nyingi sana. Kama aliyeemuua yule binti(Akwilina) kaachiwa hivi hivi, watauwawa wengi sana. Na hivi mnajulikana waoga, hamuezi fanya kitu. Mtalalamika mitandaoni tuu.
Watu wa nje wana shida gani ya kuandamana. Wanajaribu kuwa-support nyie na kuwapa motisha mkomboe taifa lenu lakini akili nzitoo wala hamuoni. Watu wa nje wan uhuru wa kuongea, maji kwenye mabomba yao yanatoka masaa ishirini na nne, umeme hata hawajui unakatikaje. Watoto wao wanapata elimu...
Jitu zima hovyoo...limezalilika kweli. Wala silionei huruma, likome. Kutwa nzima kugombana na vitoto vidogo kama binti yake, matokeo yake ndio hayo. Mphewww!!!
How do you pride yourself for being a Whor**? Wanawake wa kiTanzania ndio tumejishusha kiasi hiki jamani. This is just sad. Eti mwanamke mjanja, mchukulie mmewe. Why not find your own man, stupi***!
Dah! Sasa watamlipa kwa kumsumbua hivyo? Ingekua nchi za watu angelipwa hela ya maana kwa huo usumbufu. Lakini bongo naona anashukuru tuu kuwa bado yu hai....Dah!
Badala ya kufanya uchunguzi, wao wanataka kukamata wananchi. Wananchi wanajichukulia sheria mkononi sababu serikali iko busy kufuatilia mambo yasiyo msingi. Sad!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.