Mimi nakuunga mkono, ugali ni chakula ambacho sikipendi kabisa, Nina miaka kadhaa sijala ugali, tena jumlisha na dagaa ndo basi kabisa. Nikija kukutembelea kwako nikakuta umepika ugali na dagaa azima niombe udhuru niondoke.
Duuh,hii huwa inanikumbusha mbali sana. Tukio hili la kifo cha Baba wa Taifa huendana na kumbukumbu ya Mimi kuachwa na demu wangu kipenzi.
Nakumbuka nilikua Mwaka wa kwanza SUA demu alikua Mwaka wa kwanza UDSM. Dalili za kuachwa zilikuwepo, Weekend ya tarehe 8 nilikua nimeenda ili kujua hatma...
Mkuu Bujibuji ngoja nikupe njia ninayotumia mie kutotupa ugali. Hakikisha ugali unaobaki unauhifadhi kwenye friji ukiwa bonge Moja (unaweza kuuviriga kwa shepu unayotaka).
Asubuhi chukua Ugali ukate slesi jinsi unavyopenda, hizo slesi zinyunyizie chumvi na pilipili manga Kwa mbali. Andaa...
Ni njia moja nzuri sana kama wewe ni adventurous na unwpenda Ku appreciate nature na hupendi usumbufu wa magari mengi barabarani. Unatoka Mbeya kuelekea Chunya kuelekea Tabora. Njia panda ya tabora unaenda kulia itigi.
You will enjoy.
Ni kweli kabisa kuwa Tanzania ilizaliwa 26 April, na ndio siku tunayotakiwa kusherhekea. Mimi binafsi 26 April Ni muhimu kuliko 9 December. Nadhani kuna kitu nyuma ya pazia ambacho umma hatutakiwi kukijua. Mjadala mpana wa kitaifa unahitajika.
Mi kiswahili ninachokijua ni hiki hiki tunachoongea, kusoma Na kuandika.maana hata shule nilifaulu vizuri tuu somo la kiswahili. Sasa we unazungumzia kiswahili kipi. Diamond nae anaimba kiswahili kawada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.