I think saa ya ukombozi ipo karibu mno; kama sio mwaka huu basi 2015.... baada ya uchaguzi Dr. Slaa usilale endeleza mapambano mpaka kieleweke................................:A S thumbs_up:
ciao
Hata kabla tunapenda kujenga kwa wenzetu, kwetu tunasahau. huku tukijisifia kuwa tunadumisha amani na kukomboa afrika.
Sikushangai ndugu, kibonzo ni poa kinadepict hali halisi ya mtanzania:
1. Kama ni katika mambo ya Uchaguzi- Hana elimu ya uraia
2.Kama ni Kushughulikia matatizo- Mpaka...
Kweli SIASA ni Utumwa; hasa ya kwetu tunapotafuta kuuaga umasikini kwa njia ya SIASA. kwani kama ni kutetea haki za watu sidhani kama angepiga goti....
Pole Ndugu yangu, piga magoti unajua unachokihitaji na ukikipata unasahau yote, hata ya wanaokubeza.......
Lakini Uhuru ni mtamu mno kuliko...
Nionavyo ni kwamba Tanzania kama Nchi nyingi zilizo masikini ( hata kama ni matajiri wa kutupwa- madini/mafuta/ malighafi/ n.k) daima hufikiria MTU na sio Tunahitaji nini, na Raisi anakuja ili kututoa wapi na atufikishe wapi. Kifupi HATUNA mwelekeo wa wapi tuelekee. Hata H Clinton angemshinda...
Sometimes najiuliza, hivi mtu akitoa kauli za jinsi hii, anakuwa katika hali gani? nafikiri ndugu huyu alikuwa na furaha kupita kiasi au alizidiwa na emotions kama za furaha na anajikuta hajui anasema nini.
ndio maana ndugu zetu wakenya walitamani aanzie kwao, nafikiri kwa tamaa au emotional...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.