Sawa ni salamu ya mdogo kwa mkubwa lakini inakuwaje pale inapotokea unashindwa kukadiria kwa haraka umri wa unayemsalimia na umri wako? Unapompa mtu shikamoo kumbe ulitakiwa wewe kupewa hiyo shikamoo, hapa huwa haileti picha nzuri kwakweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.