nina maswali machache kuhusu FOREVER LiVING PRODUCTS.Hizi bidhaa kila kukicha napata sms,simu matangazo kuhusu umuhimu ktk afya n.k maswali yangu ni:
1. Kuna wangapi wamefaidika kiafya hapa nchini kutokana na kutumia bidhaa hizi (kwa mf kupungua uzito toka kilo mia mpaka kilo 70)???
2. je...
nadhani hatuhitaji waende likizo ya kutafuna mabilioni waliyokula tunataka fedha irudi na sio kwa staili ya fedha zitapelekwa kwenye kujenga maabara NO tunataka kuziona zikiwa kwenye akaunti kuwa zimerudishwa😡😡😡😡😡😡😡😡
kwa kweli mimi nimeshajikubalia kuwa msimu wa epl kwa arsenal umeshaisha na naanza kuamini kuwa mpka wenger atakapoa amua kuondoka ndo labda unafuu utaonekana
++TAARIFA HII IMETOLEWA KWENYE GAZETI LA UINGEREZA LA DAILY MAIL LEO++
(Tribe of Ghosts: Jacquelyn Martin's pictures of albinos in Tanzania | Mail Online)
Tragic plight of the 'Tribe of Ghosts': Inside the centre where Tanzania's outcast albinos find refuge from murderers who kill them...
israeli ni ndogo sana ukifananisha na tanzania je tunaweza kuikanyaga kama kifaranga????!!! Tusihukumu uwezo wa kijeshi wa taifa kwa kuangalia ukubwa wa eneo lake cha kufanya ni kuchukua hatua stahiki juu ya kauli za rais huyu....
nJAA ni kitu kibaya sana:
1. Njaa imesababisha wasanii wenye nia ya kutumia sanaa yao kufanya maisha kushindwa kufanya hivyo kwa sababu wao wakigoma kulipwa pesa mkia wa mbuzi wanakuja WASANII NJAA WANAKUBALI HATA KUIMBA BURE ILI WAPATE PICHA ZA KUPOST FB
2. Pili wasanii kutotumia nafasi...
hakuna kosa kubwa kama KuCHANGANYA SIASA na DINI!...kuhusu hali ilivyo sasa NAIOGOPA CKU AMBAYO WAKRISTU WATAKAPOCHOKA NA KUAMUA KUCHUKUA HATUA JUU YA VI2KO NA VISA WANAVYOFANYIWA NA WAISLAM...
MAjuma machache yaliyopita niliwahi kuuliza "BARA INAFAIDIKA NINI NA MUUNGANO HUU KIASI KWAMBA ZANZIBAR WANATUMIA MAFANIKIO HAYO AMBAYO BARA INASEMEKANA INAYAPATA TOKA ZANZIBARI KUWA KIGEZO KIKUU CHA KUTAKA KUUVUNJA HUU MUUNGANO?"
Swali hilo halikupatiwa jibu lililonyooka na hivyo nikabaki na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.