Suala la kutoelewa kwa nini CCM wanakataa kura ya siri ni maajabu ya Dunia tena kubwa zaidi ni kama mwizi analia kabisa akiomba akuibie kwa hiari yako na akulazimishe uende polisi usimtaje ila useme nimeibiwa tu. Deo kaza buti, watanzania na wanaLudewa tunakuona
Hawa Watanzania ambao wanataka kuendesha nchi bila kodi mimi binafsi siwaelewi, anyway labda nao TRA wanapenda sana wizi wa viini macho kama mashine moja ya EFD inauzwa dolla 120 inakuwaje wawauzie wafanyabiashra laki nane? Wafanye utaratibu zuri wa kisayansi na kifedha kupata malipo ya mashine...
Kwa Mungu kila goti litapigwa. Fanya ufanyavyo malipo lazima, Huyu bwana ndio mwisho wake sala za wahanga na waliopatwa na majanga zimefika kwenye kiti chake MKUU.
kama haiwezekani haiwezekani tu, JK huna uwezo wa solve matatizo ya WaTz. Moto haufunikwi na viganja vya mikono, utaachia tu au la utateketea wewe na mikono yako.
Kama angekuwa mwanamke, watoto aliacha na nani? Lakini mwanaume kazi kuleta michuzi huwezi jua labda mama alikuwa na utaratibu wa kupata michuzi kwa serengeti boy wake. Hapa kusameheana ndio deal
wakati umefika CCM wajue wananchi wanahitaji nini na kwamba hawadanganyiki tena. Ninachowaomba watu woooote tuwaambie watoto ukweli wajue mapema wasijetekwa na watu wabaya.
mimi nilikwambia ukiona baba analazimisha umwite baba hapo ujue hawajibiki kwenye nafasi yake. Halafu analazimisha kukutawala UDIKITETA Kikwete acha utaumia na familia yako kubali kushindwa
Dikteta sifa zake zinajulikana, huhitaji kutumia nguvu kuwashawishi watu juu ya hili, yeye kama anawapenda wana mwanza aache wafanye mambo yao. Amechoka kuona watu wametulia kama sifa za shetani ni kuharibu na kubomoa tu. Mchawi akikuuo hawezi chukua sifa zako na uwezo wako ila furaha yake kuona...
hIYO NI SAUTI YA SHETANI YULE YULE ALIYETUFANYA TUWE TULIVYO, SIKUSHANGAI ENDELEA NA MIHANGAIKO YAKO WAKATI SISI WATANZANIA TUNATAKA TUKUNYONGE KWA NGUVU YA MUNGU UMESHATUTES SANA. MUNGU YUPO UPANDE WETU
Hakika mungu yupo na watanzania atawapa viongozi maowataka tuongeza sara hawa ccm aibu kwao mzaha waweza fanya lolote muda wowote. Tuombe mungu awatwange woote wabaya wakalazwe wakirudi waone haki ishatendeka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.