Search results

  1. R

    Je Julius (mwanafunzi aliyeandika Bongo fleva) anaweza kushtakiwa?

    Anaweza kushtakiwa tu kama kuna mtu ambaye alimtukana au kumchafulia jina,ila kama aliandika maneno yake haina sehemu ya kuisimamia mahakamani
  2. R

    Ninaweza kumshitaki JK na msafara wake ? Naomba ushauri tafadhali

    Kufungua tu kesi mahakamani siyo issue lakini kamwe huwezi kupata haki yako kwa sababu kufunga barabara wakati wa msafara wa rais ni taratibu inayotambulika kisheria,halafu ujue ya kwamba rais ana kinga ya kutoshtakiwa ndg yangu,ila pole sana
  3. R

    Schooloflaw school of law

    Siyo lazima kila mtu kwenda law school kwa sasa,eg,mahakimu wanaajiriwa hata bila kwenda law school.vilevile kuna legal officers,state attorney serikalini aambao wanafanya kazi za sheria hata bila ya kuwa na cheti cha law school
Back
Top Bottom