Kufungua tu kesi mahakamani siyo issue lakini kamwe huwezi kupata haki yako kwa sababu kufunga barabara wakati wa msafara wa rais ni taratibu inayotambulika kisheria,halafu ujue ya kwamba rais ana kinga ya kutoshtakiwa ndg yangu,ila pole sana
Siyo lazima kila mtu kwenda law school kwa sasa,eg,mahakimu wanaajiriwa hata bila kwenda law school.vilevile kuna legal officers,state attorney serikalini aambao wanafanya kazi za sheria hata bila ya kuwa na cheti cha law school
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.