Mkuu vipi umeshalewa? Mimi nimeeleza kuwa Djokovic ameshinda mwanamichezo bora wa mwaka, Na sio Jude kama ulivyojaribu kueleza wewe, Na ameshindana na Halland. Sasa tutafsiri nini hapo chengine? Na huo ndio uthibitisho wa hiyo tunzo. Tunzo ya Jude ilikuwa ni kwa tafsiri nyepesi ni ya mastaa...
Taarifa uliyoleta ulipotosha either kwa makusudi au bila ya kukusudia kwa maelezo yako ikiwa ni katika njia ya kupamba, baada ya kukosolewa umekuwa ukitumia nguvu nyingi kutetea hoja badala kukubali ukweli ulio wazi.
Kuna wale waliokuwa wanashangiria maji yaliojaa mitaa dubai kule twiter wakisema ni laana baada ya dua za wa tz. Haya tuulize nayo ni laana kutoka kwa nani? Yule dada maria Sarungi ni mpuuzi sana
Tuacheni mihemuko, Kuengezeka kwa watalii na kukua kwa Utalii Zanzibar neema yake ni kwa wote na si kwa wazanzibari pekee, Ajira ni za wote, visa na permit fees zote hela inaingia direct kwenye jamhuri ya muungano. Na faida kiujumla ni nyingi sana.
mkuu hata mungeeka hizo taratibu, wapemba wengekuepo na wangeishi na kufanya biashara zao, Kwa hoja ya muungano isiwe kama ni kigezi kuwa eti munawasaidia wapemba. Acheni roho mbaya. Leteni hoja za muungano na sio ishu za kipuuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.