Itakuwa ni agiza agiza kila siku, ila hapo kuna viongozi unawaona kabisa hawana uchungu na wananchi kwakuwa vipato walivyonavyo hawaathiriki sana, mf huyo mwigulu hana uchungu kabisa na wananchi linapotokea suala la kuwaumiza wananchi yeye anaangalia serikali itanufaika vipi, suala la kutoa...
[emoji599]Za chini ya Kapeti wanasimba tujiandae kupingana na ukiukwaji wa taratibu za mpira unaofanywa na Baadhi ya viongozi wa soka letu.kuna habari kwenye mitandao kuwa upo mpango wa kumfungia CEO wetu Barbara Gonzalez kwa muda wa miaka 5 au maisha ili waweze kutimiza lengo Lao la kusaini...
Watu wa Busokelo Mbeya, naomba mnisaidie hili, inakuwaje mbunge wetu siku ya kusomwa bajeti kuu bungeni, yeye tunamuona huku jimboni anazurula tu, hivi tutakuja pata mbunge atakayetufaa kama kina Mwandosya?
Yanga wanajua pasi na shaka kwamba hawana tena uwezo wa kupambana na Simba uwanjani kutokana na ubora wa vikosi na wanajua kikosi na cha Simba ni mbingu na Ardhi.
Ndipo wanapoamua kuja na hoja za kinafiki ili kutaka kuichafua Simba ionekane inapata ushindi wenye mashaka na sio kwa uwezo wa...
YANGA WANAPOKUJA NA PROPOGANDA, UZUSHI NA MBINU ZA KIZAMANI.
Akizungumza na Moja ya Wahariri wazuri wa soka, Muhariri huyu ametanabaisha kuwa.
Yanga wameamua kupambana na Simba nje ya uwanja kuliko uwanjani. Na wameamua hawataki tena kuzungumzia ubora wa wachezaji au timu kwa ujumla...
YANGA WANAPOKUJA NA PROPOGANDA, UZUSHI NA MBINU ZA KIZAMANI.
Akizungumza na Moja ya Wahariri wazuri wa soka, Muhariri huyu ametanabaisha kuwa.
Yanga wameamua kupambana na Simba nje ya uwanja kuliko uwanjani. Na wameamua hawataki tena kuzungumzia ubora wa wachezaji au timu kwa ujumla...
YANGA WANAPOKUJA NA PROPOGANDA, UZUSHI NA MBINU ZA KIZAMANI.
Akizungumza na Moja ya Wahariri wazuri wa soka, Muhariri huyu ametanabaisha kuwa.
Yanga wameamua kupambana na Simba nje ya uwanja kuliko uwanjani. Na wameamua hawataki tena kuzungumzia ubora wa wachezaji au timu kwa ujumla...
Akizungumza na Moja ya Wahariri wazuri wa soka, Muhariri huyu ametanabaisha kuwa.
Yanga wameamua kupambana na Simba nje ya uwanja kuliko uwanjani. Na wameamua hawataki tena kuzungumzia ubora wa wachezaji au timu kwa ujumla.
Wanajificha kwenye kivuli kwamba Simba inabebwa au inatumia mbinu...
Hakuna mahali popote duniani mshabiki wa soka aliyelipa kiingilo kuingia uwanjani anaruhusiwa kupigwa au kufanyiwa fujo.
Kuna wahuni wachache wasiojua mpira wanavamia soka letu. Na Kuna kila dalili wanataka kutuondolea utamaduni wetu wa soka letu.
Ikumbukwe kila mtu ana haki ya kushangilia...
Watu wa mwanza kiboko tatizo dogo tu kwa rais, kwani mawaziri wamuwaoni?
Imenikumbusha huku mbeya kipindi mwandosya waziri watu wa masoko kila MTU alikuwa na namba ya mwandosya, sasa ole wako kama unasafirisha abiria wa kwenda masoko umzingue abiria ,gari zima wanapiga simu kwa mwandosya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.