Wakuu natafuta tempo kwenye hosp yoyote Ile..mm ni clinical officer (tabibu)nmemaliza mwaka jana kwayeyote anaefahamu sehemu wanatafuta dactar kwa ngazi ya diploma naomba nijulishwe wakuu.ahsanteni
Chanjo ya ugonjwa wa malaria imegundulika huko marekani na wanasayansi na tayari wameifanyia majaribio na kugundua inaweza kutumika kama chanjo ya malaria
kama kukaa kimya ni dawa endelea kukaa hivyo hivyo ili umalize DOZI
jiulize aliye chora raman ya dunia yeye alkaa wap?
eti serikari inatumia brain wananchi tunatumia spinal cord
ieleweke kuwa ugonjwa wa ukimwi umekuwa ugonjwa maarufu sana ulimwenguni na hasa nchi zetu za kiafrika na kuonekana kukua kwa kasi sana afrika kuliko nchi za magharibi!unafikiri ni kwanini nchi za africa znaongoza kwa UKIMWI KULIKO WENZETU WA MAGHARIBI?
Usiwaze nani anafaa kuingoza Tanzania siku za mbeleni bali waza nani ataikombo Tanzania kwa jinsi ilivyo sasa ukiachia mbali utajili tulokuwa nao sisi kupitia rasilima zetu wenyewe na kuibiwa na wageni!!
Vita vya wenyewe kwa wenyewe.,ujambazi wa kutumia silaha kali,ufisadi!! Ila bhado naipenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.