Habareee!
Jamaa yangu amekuwa na msiba mzito sana maishani mwake
Truly ameniomba ushauri juu ya tatizo lake kuwa hajawahi kumwaga manii au mbegu au shahawa toka aanze kufanya mapenzi na mabinti,kwa sasa anadai amefanya mapenzi na mabinti 6 ili kujaribu kuling'amua tatizo lakin hali ni...
Kwa kitendo chake cha kutubagua watu wa bwana ktk kujadili hatima ya tz yetu natangaza masaa 24 kwake otherwise nitamlaani mpaka atakapoenda kaburini
WAPENTEKOSTE TUUNGANE KUMLAANI JK,TUKO MIL 10 HIVYO 2015 TUTAIONDOA CCM RASMI KWA KUMDHIHAKI BWANA
Kwa kikosi kazi kilichotajwa jana Wamekosekana Lusinde,Majimarefu na serukamba hivyo sidhani kama team itafanikisha lengo
=OMBI:Lusinde,Maji marefu na serukamba waongezwe kuwasaidia Lameck Mkumbo(nchemba) na Nkamia
Nawasilisha
Spika:Haya nawahoji,wanaoafiki waseme NDIOOoo,wasioafiki...
Mtoa hoja katoka mirembe,ila kanuni ya maridhiano ni mkosaji kuomba msamaha. Zitto kajaa jeuri na kiburi,hata wakiridhiana hawataweza kufanya kazi pamoja.Namshauri zitto aende cuf.
Katika kile kinachodhihirisha kuchokwa na wananchi wa iramba,mwigulu kapatwa na dhahama kubwa jimboni kwake.Zaidi ya wananchi 100 wa kijiji cha makunda wilayani iramba mkoa wa singida,wameandamana kwa miguu kwa zaidi ya km 40,hadi zilipo ofisi za mkuu wa wilaya mjini kiomboi,kupinga uporaji wa...
Uchaguzi una taratibu zake nyie mburula msiojua hata katiba ya chama,waga unaanza ngazi za misingi na matawi kazi hiyo inafanyika hivi sasa nchini pote,then kata,wilaya,mkoa na mwisho taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.